2 Nya. 32:25 Swahili Union Version (SUV)

Walakini kadiri alivyofadhiliwa Hezekia hakumrudishia vivyo; kwa kuwa moyo wake ulitukuka; kwa hiyo ikawako hasira juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu.

2 Nya. 32

2 Nya. 32:19-30