2 Nya. 32:14 Swahili Union Version (SUV)

Ni yupi miongoni mwa miungu ya mataifa wale walioharibiwa kabisa na baba zangu, aliyeweza kuwaokoa watu wake na mkono wangu, hata Mungu wenu aweze kuwaokoa ninyi na mkono wangu?

2 Nya. 32

2 Nya. 32:5-24