2 Nya. 30:1 Swahili Union Version (SUV)

Hezekia akatuma wajumbe kwa Israeli wote na Yuda pia; akawaandikia nyaraka Efraimu na Manase, waje nyumbani kwa BWANA Yerusalemu, ili wamfanyie pasaka BWANA, Mungu wa Israeli.

2 Nya. 30

2 Nya. 30:1-9