2 Nya. 29:32 Swahili Union Version (SUV)

Na hesabu ya sadaka hizo za kuteketezwa walizozileta kusanyiko ikawa ng’ombe waume sabini, kondoo waume mia, na wana-kondoo mia mbili; hao wote walikuwa ni sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA.

2 Nya. 29

2 Nya. 29:23-36