2 Nya. 29:30 Swahili Union Version (SUV)

Tena Hezekia mfalme na wakuu wakawaamuru Walawi, wamwimbie BWANA sifa kwa maneno ya Daudi, na ya Asafu mwonaji. Wakaimba sifa kwa furaha, wakainama vichwa, wakaabudu.

2 Nya. 29

2 Nya. 29:24-36