2 Nya. 28:1 Swahili Union Version (SUV)

Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka kumi na sita; wala hakufanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, kama Daudi babaye;

2 Nya. 28

2 Nya. 28:1-8