2 Nya. 25:13 Swahili Union Version (SUV)

Lakini wale watu wa jeshi, aliowarudisha Amazia, wasiende naye vitani, hao wakaiteka miji ya Yuda, tangu Samaria mpaka Beth-horoni, wakawapiga watu elfu tatu, wakachukua nyara nyingi.

2 Nya. 25

2 Nya. 25:8-18