2 Nya. 21:7 Swahili Union Version (SUV)

Walakini BWANA hakupenda kuiharibu nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano alilolifanya na Daudi, na kama alivyomwahidi kuwa atampa taa, yeye na wazao wake siku zote.

2 Nya. 21

2 Nya. 21:4-8