2 Nya. 21:20 Swahili Union Version (SUV)

Alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipoanza kutawala, akatawala huko Yerusalemu miaka minane; akafariki bila kutamaniwa; wakamzika mjini mwa Daudi, ila si katika makaburi ya wafalme.

2 Nya. 21

2 Nya. 21:13-20