2 Nya. 20:31 Swahili Union Version (SUV)

Yehoshafati akatawala juu ya Yuda; alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala, akatawala miaka ishirini na mitano huko Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Azuba binti Shilhi.

2 Nya. 20

2 Nya. 20:24-37