2 Nya. 19:4 Swahili Union Version (SUV)

Na Yehoshafati akakaa Yerusalemu; akatoka tena kwenda kati ya watu toka Beer-sheba mpaka milima ya Efraimu, akawarudisha kwa BWANA, Mungu wa baba zao.

2 Nya. 19

2 Nya. 19:1-10