2 Nya. 18:5 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo mfalme wa Israeli akawakusanya manabii, watu mia nne; akawaambia, Je! Tuende Ramoth-gileadi vitani, au niache? Wakasema, Kwea; kwa kuwa Mungu atautia mkononi mwa mfalme.

2 Nya. 18

2 Nya. 18:1-7