2 Nya. 18:31 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa maakida wa magari walipomwona Yehoshafati, wakasema, Mfalme wa Israeli ni huyu. Basi wakamgeukia ili wapigane naye; lakini Yehoshafati akalia, na BWANA akamsaidia; Mungu akawafarakisha kwake.

2 Nya. 18

2 Nya. 18:26-34