2 Nya. 18:23 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo akakaribia Zedekia mwana wa Kenaana, akampiga Mikaya kofi la shavu, akasema, Alitokaje kwangu roho ya BWANA ili aseme na wewe?

2 Nya. 18

2 Nya. 18:18-25