2 Nya. 18:2 Swahili Union Version (SUV)

Hata baada ya miaka kadha wa kadha akamshukia Ahabu huko Samaria. Ahabu akamchinjia kondoo na ng’ombe tele, yeye na watu waliokuwa pamoja naye, akamshawishi ili apande pamoja naye waende Ramoth-gileadi.

2 Nya. 18

2 Nya. 18:1-3