2 Nya. 18:19 Swahili Union Version (SUV)

BWANA akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli, ili akwee Ramoth-gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.

2 Nya. 18

2 Nya. 18:16-28