2 Nya. 18:12 Swahili Union Version (SUV)

Na yule mjumbe, aliyekwenda kumwita Mikaya, akamwambia, akasema, Angalia, maneno ya manabii kwa kinywa kimoja yasema mema kwa mfalme; neno lako basi na liwe kama mojawapo lao, ukaseme mema.

2 Nya. 18

2 Nya. 18:8-16