2 Nya. 14:8 Swahili Union Version (SUV)

Naye Asa alikuwa na jeshi waliochukua ngao na mikuki, katika Yuda mia tatu elfu; na katika Benyamini wenye kuchukua vigao na kupinda upinde, mia mbili na themanini elfu; hao wote walikuwa mashujaa.

2 Nya. 14

2 Nya. 14:1-11