2 Nya. 12:9 Swahili Union Version (SUV)

Basi Shishaki, mfalme wa Misri, akapanda juu ya Yerusalemu, akazichukua hazina za nyumba ya BWANA, na hazina za nyumba ya mfalme; akazichukua zote. Akazichukua pia ngao za dhahabu alizozifanya Sulemani.

2 Nya. 12

2 Nya. 12:1-12