2 Nya. 11:4 Swahili Union Version (SUV)

BWANA asema hivi, Hamtapanda wala kupigana na ndugu zenu; rudini kila mtu nyumbani kwake; kwa kuwa jambo hili limetoka kwangu. Basi, wakayasikiliza maneno ya BWANA, wakarudi katika kumwendea Yeroboamu.

2 Nya. 11

2 Nya. 11:1-6