2 Nya. 10:6 Swahili Union Version (SUV)

Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mwanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?

2 Nya. 10

2 Nya. 10:3-16