2 Nya. 10:15 Swahili Union Version (SUV)

Basi mfalme hakuwasikia wale watu; maana jambo hili lilitoka kwa Mungu, ili alithibitishe neno lake alilomwambia Yeroboamu mwana wa Nebati kwa mkono wa Ahiya Mshiloni.

2 Nya. 10

2 Nya. 10:7-19