2 Kor. 9:7 Swahili Union Version (SUV)

Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu.

2 Kor. 9

2 Kor. 9:1-8