2 Kor. 6:14 Swahili Union Version (SUV)

Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?

2 Kor. 6

2 Kor. 6:9-18