2 Kor. 5:4 Swahili Union Version (SUV)

Kwa sababu sisi tulio katika maskani hii twaugua, tukilemewa; si kwamba twataka kuvuliwa, bali kuvikwa, ili kitu kile kipatikanacho na mauti kimezwe na uzima.

2 Kor. 5

2 Kor. 5:1-6