2 Kor. 13:4 Swahili Union Version (SUV)

Maana, alisulibiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.

2 Kor. 13

2 Kor. 13:1-11