2 Kor. 13:2 Swahili Union Version (SUV)

Nimetangulia kuwaambia; na, kama vile nilipokuwapo mara ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo, nawaambia wazi wao waliotenda dhambi tangu hapo, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia;

2 Kor. 13

2 Kor. 13:1-11