2 Kor. 13:10 Swahili Union Version (SUV)

Kwa sababu hiyo, naandika haya nisipokuwapo, ili, nikiwapo, nisiutumie ukali kwa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.

2 Kor. 13

2 Kor. 13:1-14