2 Kor. 12:9 Swahili Union Version (SUV)

Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu.

2 Kor. 12

2 Kor. 12:8-10