2 Kor. 12:11 Swahili Union Version (SUV)

Nimekuwa mpumbavu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwe na ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuu kwa lo lote, nijapokuwa si kitu.

2 Kor. 12

2 Kor. 12:10-20