2 Kor. 11:3 Swahili Union Version (SUV)

Lakini nachelea; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo.

2 Kor. 11

2 Kor. 11:1-11