2 Kor. 11:21 Swahili Union Version (SUV)

Nanena kwa jinsi ya kujidhili kana kwamba sisi tulikuwa dhaifu. Walakini, akiwa mtu anao ujasiri kwa lo lote, (nanena kipuuzi), mimi nami ninao ujasiri.

2 Kor. 11

2 Kor. 11:14-31