2 Kor. 11:16 Swahili Union Version (SUV)

Nasema tena, mtu asidhani ya kuwa mimi ni mpumbavu; lakini mjaponidhania hivi, mnikubali kama mpumbavu; ili mimi nami nipate kujisifu ngaa kidogo.

2 Kor. 11

2 Kor. 11:12-21