2 Kor. 10:8 Swahili Union Version (SUV)

Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu, (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga wala si kuwaangusha), sitatahayarika;

2 Kor. 10

2 Kor. 10:1-13