2 Kor. 1:19 Swahili Union Version (SUV)

Maana Mwana wa Mungu, Kristo Yesu, aliyehubiriwa katikati yenu na sisi, yaani, mimi na Silwano na Timotheo, hakuwa Ndiyo na siyo; bali katika yeye ni Ndiyo.

2 Kor. 1

2 Kor. 1:12-21