2 Fal. 9:8 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana nyumba yote ya Ahabu wataangamia; nami nitamkatilia mbali kila mwanamume wa nyumba ya Ahabu, yeye aliyefungwa, na yeye asiyefungwa, katika Israeli.

2 Fal. 9

2 Fal. 9:1-12