2 Fal. 7:15 Swahili Union Version (SUV)

Wakawafuata mpaka Yordani; na kumbe! Njia yote ilikuwa imejaa mavazi na vyombo, walivyovitupa Washami, wapate kukimbia upesi. Watu wale waliotumwa wakarudi, wakamwambia mfalme.

2 Fal. 7

2 Fal. 7:14-18