2 Fal. 6:30 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, mfalme alipoyasikia maneno ya huyo mwanamke, aliyararua mavazi yake; (naye alikuwa akipita juu ya ukuta;) na watu wakaona, na tazama, alikuwa amevaa magunia ndani mwilini mwake.

2 Fal. 6

2 Fal. 6:22-33