2 Fal. 6:25 Swahili Union Version (SUV)

Njaa ikawa kuu huko Samaria; na tazama, wakauhusuru, hata kichwa cha punda kikapata kuuzwa kwa vipande themanini vya fedha, na kibaba cha mavi ya njiwa kwa vipande vitano vya fedha.

2 Fal. 6

2 Fal. 6:17-33