2 Fal. 6:22 Swahili Union Version (SUV)

Akamjibu, Usiwapige; je! Ungetaka kuwapiga watu ambao umewatwaa mateka kwa upanga wako na uta wako? Weka chakula na maji mbele yao, wapate kula na kunywa, na kwenda kwa bwana wao.

2 Fal. 6

2 Fal. 6:21-32