2 Fal. 6:20 Swahili Union Version (SUV)

Hata walipokwisha kuingia Samaria, Elisha akasema, BWANA wafumbue macho watu hawa, wapate kuona. BWANA akawafumbua macho wakaona; kumbe! Walikuwa katikati ya Samaria.

2 Fal. 6

2 Fal. 6:18-30