2 Fal. 6:18 Swahili Union Version (SUV)

Na walipomtelemkia Elisha akamwomba BWANA, akasema, Uwapige, nakusihi, watu hawa kwa upofu. Akawapiga kwa upofu sawasawa na neno la Elisha.

2 Fal. 6

2 Fal. 6:8-19