2 Fal. 6:12 Swahili Union Version (SUV)

Mmojawapo wa watumishi wake akasema, La, bwana wangu, mfalme; lakini Elisha, yule nabii aliye katika Israeli, humwambia mfalme wa Israeli maneno uyanenayo katika chumba chako cha kulala.

2 Fal. 6

2 Fal. 6:5-14