2 Fal. 5:23 Swahili Union Version (SUV)

Naamani akasema, Uwe radhi, ukatwae talanta mbili. Akamshurutisha, akafunga talanta mbili za fedha ndani ya mifuko miwili, na mavazi mawili, akawatwika watumishi wake wawili; nao wakayachukua mbele yake.

2 Fal. 5

2 Fal. 5:14-24