2 Fal. 5:17 Swahili Union Version (SUV)

Naamani akasema; Kama sivyo, lakini mtumwa wako na apewe mzigo wa udongo wa baghala wawili; kwa maana mtumwa wako hatatoa tena sadaka ya kuteketezwa wala dhabihu kwa miungu mingine, ila kwa BWANA.

2 Fal. 5

2 Fal. 5:9-23