2 Fal. 4:40 Swahili Union Version (SUV)

Basi wakawapakulia hao watu ili wale. Ikawa, walipokuwa katika kula chakula, wakapiga kelele, wakasema, Mauti imo sufuriani, Ee mtu wa Mungu. Wala hawakuweza kula.

2 Fal. 4

2 Fal. 4:32-41