2 Fal. 4:38 Swahili Union Version (SUV)

Elisha akafika Gilgali tena; na kulikuwa na njaa katika nchi; na hao wana wa manabii walikuwa wakikaa mbele yake. Akamwambia mtumishi wake, Teleka sufuria kubwa, uwapikie wana wa manabii.

2 Fal. 4

2 Fal. 4:28-44