2 Fal. 4:2 Swahili Union Version (SUV)

Elisha akamwambia, Nikufanyie nini? Niambie; una kitu gani nyumbani? Akasema, Mimi mjakazi wako sina kitu nyumbani, ila chupa ya mafuta.

2 Fal. 4

2 Fal. 4:1-8