2 Fal. 4:10 Swahili Union Version (SUV)

Nakuomba, tumfanyie chumba kidogo ukutani; na ndani yake tumwekee kitanda, na meza, na kiti, na kinara cha taa; na itakuwa, atujiapo, ataingia humo.

2 Fal. 4

2 Fal. 4:1-19