2 Fal. 3:14 Swahili Union Version (SUV)

Elisha akasema, Kama BWANA wa majeshi aishivyo, ambaye nimesimama mbele zake, kama singemwangalia uso wake Yehoshafati mfalme wa Yuda, singekutazama, wala kuonana nawe.

2 Fal. 3

2 Fal. 3:5-21